Monday 27 October 2014

Sherehe Arts Association {SAA} Msafiri Photo & Video Production walihusika kuchukua kumbukumbu za semina




























Mwenyekiti wa chama Guydon Lukuwi akiongea jambo

Katibu mkuu Brayson Makena akimkabidhi Risala mgeni Rasmi


Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Mh.Ahmed Kipozi ndiye aliyefungua semina




Mwenyekiti wa chama akimkabidhi mgeni rasmi  Katiba ya Chama cha SAA


Mlezi wa chama William Chitanda akitoa neno la Shukrani kwa mgeni rasmi Mh.Ahmed Kipozi.


Ukafika wakati wa kukata Keki

Ukafika wakati wa kukata Keki










Picha ya pamoja na mgeni rasmi wanawake tu



Picha ya pamoja na mgeni Rasmi wanaume tu

Mgeni rasmi akiagana na wanachama baada ya kufungua Semina


Katibu mkuu wa chama Brayson Makena ambaye pia alikuwa mtoa mada







Dorca naye alituandalia somo






Mkurugenzi wa Dorca Company Group naye alitoa neno














MC Brigitee Mweka hazina msaidizi

Mc Columba Samjela

Mc Cheni

Mc Jimmy














Mmiliki wa Hotel tulipofanyia semina akishukuru kwa wanachama

Mlezi wa chama Mackie Godwin Mdachi

Makamu mwenyekiti wa chama Steven Mwakajumba

Father Likoko akitoa Mada









Katibu mkuu wa chama Brayson Makena






Kamati ya maandalizi ya Semina